Wednesday, 20 May 2015
Friday, 4 April 2014
VAI ACHEZEA KICHAPO
Stori: Gladness Mallya
KICHAPO! Mwigizaji wa filamu za Kibongo, Isabela Francis ‘Vai wa Ukweli’ amechezea kichapo ‘vitasa’ kutoka kwa bwana’ke aliyetajwa kwa jina la Boniface Matiku ‘Bonny’.
Kwa mujibu wa sosi wetu, ishu hiyo ilijiri hivi karibuni mishale ya usiku nyumbani kwa msanii huyo maeneo ya Mwananyamala-Hospitali jijini Dar baada ya wawili hao kutofautiana.
Ilidaiwa kwamba, Vai akiwa amelala nyumbani alipigiwa simu na Bonny lakini hakupokea ndipo mwanaume huyo akahisi labda alikuwa amechepuka kutoka njia kuu na kwenda kusaliti penzi lao.
Ilielezwa kwamba jamaa huyo alipotimba nyumbani hapo, alimhoji Vai kwa nini alikuwa hapokei simu huku akikutana na meseji za WhatsApp za kumtongoza kutoka kwa mwanaume mwingine ndipo msanii huyo aliyeishi naye kwa kipindi kirefu akamjibu mbovumbovu.
Chanzo chetu kilidai kuwa mdomo mchafu ulimponza Vai ambaye alipokea kipigo ‘hevi’ hadi akapasuka kichwani lakini haikufahamika alipigwa kwa kutumia kitu gani.
Hata hivyo, duru za kihabari zilidai kuwa timbwili hilo halikuishia ndani kwani wawili hao walitoka nje na kuendeleza mtiti hadi Vai akapoteza ile ‘smart phone’ yake.
Chanzo hicho kilitiririka kwamba baada ya kuona hali inakuwa mbaya huku Vai akitokwa damu, majirani waliwaamulia kisha kumkimbiza Vai hospitalini ambako alishonwa nyuzi kumi kichwani.
Baada ya kunyetishiwa ishu hiyo, Ijumaa lilimtafuta Vai ambaye alipopatikana alizungumza kwa tabu huku akilalamika maumivu makali.
Baada ya kunyetishiwa ishu hiyo, Ijumaa lilimtafuta Vai ambaye alipopatikana alizungumza kwa tabu huku akilalamika maumivu makali.
“Ni kweli Bonny amenipiga sana sijiwezi,” alisema Vai ambaye anatarajia kusukuma sokoni filamu yake ya Beautiful Liar.
Alipoulizwa chanzo cha ugomvi na kama Bonny amechukuliwa hatua gani, Vai alisema: “Ni wivu wa mapenzi. Bonny ana wivu sana. Sijamchukulia hatua yoyote kwani nampenda sana Bonny. Pia ameniomba msamaha na ananihudumia hivyo nimemsamehe.”
Hivi karibu Vai aliripotiwa na gazeti hili baada ya kunaswa kwenye mtego wa kujiuza wa Oparesheni Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers ndipo mgogoro na Bonny ulipoanza.
TASWIRA KUTOKA BUNGE MAALUM LA KATIBA MJINI DODOMA LEO
Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Askofu Mkuu Mstaafu, Dr. Donald Mtetemela (kushoto) na Spika wa Bunge, Anne Makinda wakiteta Bungeni mjini Dodoma Aprili 4, 2014.
Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba na Waziri wa Ujenzi, John Magufuli akiapa mbele ya Makamu Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samia Suluhu (kushoto), Bungeni Mjini Dodoma Aprili 4, 2014.
Wajumbe wa Bunge Maalum la katiba, Waziri Mkuu Msaafu, Edward Lowassa na Joshua Nassari wakiteta, Bungeni mjini Dodoma Aprili 4, 2014.
Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa (kulia) na Mwenyekiti wa Chama cha CUF, Ibrahim Lipumba wakiteta, Bungeni mjini Dodoma Aprili 4, 2014.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
PASTA ANASWA AKIFANYA UFUSKA
Stori: Richard Bukos na Issa Mnally
OPARESHENI Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers inaendelea! Wiki hii ilifanya kazi nyingine nzito, kumnasa Pastor John Paul Simon Rubanguka wa kanisa la kiroho la Maximum Deliverance lililopo Masaki, Dar ambaye alinaswa akichezewa utupu na wanawake watatu ambao ni kama waumini wake kwa sababu wote ni Wakristo.
OFM YATONYWA UCHAFU WA PASTOR
Ilikuwa Jumanne ya Aprili Mosi, 2014, saa 4:14 asubuhi, chanzo cha habari kilipiga simu chumba cha habari cha Global na kuwataka makachero wa OFM ambapo alipounganishwa nao alisema:
“Jamani kama kweli hapo ni OFM nina malalamiko. Mimi nimeshtukia mchezo mchafu unaotaka kufanywa na pastor (mchungaji) mmoja anaitwa Rubanguka.
Ilikuwa Jumanne ya Aprili Mosi, 2014, saa 4:14 asubuhi, chanzo cha habari kilipiga simu chumba cha habari cha Global na kuwataka makachero wa OFM ambapo alipounganishwa nao alisema:
“Jamani kama kweli hapo ni OFM nina malalamiko. Mimi nimeshtukia mchezo mchafu unaotaka kufanywa na pastor (mchungaji) mmoja anaitwa Rubanguka.
“Huyu pastor amempa dili dada mmoja kumtafutia wasichana wazuri watatu na kuwapeleka kwenye nyumba moja hivi kisha wawe wanamchezea utupu wake huku wao wakiwa kama walivyozaliwa, ndiyo furaha yake ilipo. Wasichana wameshapatikana.”
MSHIKO WA NGUVU NA SAFARI JUU
Mtoa habari huyo aliendelea kudai kuwa, pastor huyo alisema wasichana watakaokuwa wakichezea utupu atawafanyia usaili wa kwenda kuwauza kwenye kasino moja iliyopo Uarabuni ambayo yeye ni wakala wa kuwapelekea malaya huko.
Mtoa habari huyo aliendelea kudai kuwa, pastor huyo alisema wasichana watakaokuwa wakichezea utupu atawafanyia usaili wa kwenda kuwauza kwenye kasino moja iliyopo Uarabuni ambayo yeye ni wakala wa kuwapelekea malaya huko.
Chanzo hicho kiliendelea kudai kuwa, pastor huyo aliwaahidi wanawake hao kitita cha shilingi 300,000 kila mmoja kwa wale watakaofaulu kumchezea vizuri, sanjari na kuwakatia hati za kusafiria ‘passport’.
Makamanda wa OFM wakimtuliza Pasta.
OFM YAWEKA MTEGO
Baada ya kupata ishu nzima, OFM ilifanya ukachero na kugundua mahali ambapo tukio hilo lilipangwa kufanyika, ni kwenye danguro moja lililopo Kinondoni jijini Dar.
Baada ya kupata ishu nzima, OFM ilifanya ukachero na kugundua mahali ambapo tukio hilo lilipangwa kufanyika, ni kwenye danguro moja lililopo Kinondoni jijini Dar.
OFM ilifika kwenye nyumba hiyo na kufanya ushushushu wake ambapo walifanikiwa kuweka mitambo yao sambamba na kulishirikisha jeshi la polisi kwa ajili ya kumnasa mtumishi huyo wa Mungu akifanya vitendo hivyo.
Saa 8:11 mchana, OFM wakiwa wamejibanza eneo hilo waliwashuhudia warembo watatu, weupe wakielekea kwenye nyumba ambayo mtoa habari wetu aliielekeza.

Kitambulisho cha Pasta.
PASTOR AWASILI KWA MBWEMBWE
Saa 11:23 jioni, OFM wakiwa hawajaanza hata kujisikia kuchoka, walimwona pastor huyo akiwasili kwa mbwembwe akiwa ndani ya gari dogo na kugeuza kwa staili ya kupiga ‘norinda’ kisha akashuka. Mkononi alishika maji makubwa. Alipokelewa na mmoja wa wanawake hao.

Saa 11:23 jioni, OFM wakiwa hawajaanza hata kujisikia kuchoka, walimwona pastor huyo akiwasili kwa mbwembwe akiwa ndani ya gari dogo na kugeuza kwa staili ya kupiga ‘norinda’ kisha akashuka. Mkononi alishika maji makubwa. Alipokelewa na mmoja wa wanawake hao.
Bango linaloelekeza kanisa la Pastor Paul wakati bado lipo Kinondoni Studio, Dar.
MCHEZO WAANZA
Saa 11:40 jioni, makachero wa OFM walifanya uchunguzi wa kina na kubaini kuwa, tayari mchezo ulishaanza ambapo waliwataarifu polisi na kuungana nao kwenda kuvamia nyumba hiyo.
Saa 11:40 jioni, makachero wa OFM walifanya uchunguzi wa kina na kubaini kuwa, tayari mchezo ulishaanza ambapo waliwataarifu polisi na kuungana nao kwenda kuvamia nyumba hiyo.
Msafara wa OFM na polisi hao ulifika nje ya chumba kilichokuwa kikidaiwa kufanyika uchafu huo. Sauti ya muziki na wanawake waliokuwa kama wapo kwenye darasa la siri zilisikika.
Polisi waligonga mlango na kujitambulisha kisha wakaomba wafunguliwe mlango haraka ndani ya sekunde chache.
PASTOR APATA MCHECHETO
Pasta John na wanawake hao walitii amri kwa kufungua mlango ambapo mchungaji huyo alikumbwa na mchecheto na kutaka kurukia juu ya dari lakini polisi walimtafadhalisha kutulia pamoja na wanawake hao kama walivyo.
Pasta John na wanawake hao walitii amri kwa kufungua mlango ambapo mchungaji huyo alikumbwa na mchecheto na kutaka kurukia juu ya dari lakini polisi walimtafadhalisha kutulia pamoja na wanawake hao kama walivyo.
OFM ikiwa chumbani humo iliwashuhudia wanawake hao wakiwa watupu mbele ya pastor huyo ambapo walikuwa wakimnengulia viuno.
Baada ya kupewa kibano, warembo hao walimwanika pastor huyo kwamba ndiye aliyewatuma wamchezee wakiwa watupu ili awalipe shilingi laki tatu kila mmoja, pia kuwapeleka Uarabuni kwenye kasino.
UTETEZI WA PASTOR
Kwa upande wake, Pastor John alijitetea kuwa anaomba asamehewe kwa gharama zozote ili taarifa hizo zisifike popote kwani ishu hiyo ilikuwa si amri yake bali shetani alimpitia.
Kwa upande wake, Pastor John alijitetea kuwa anaomba asamehewe kwa gharama zozote ili taarifa hizo zisifike popote kwani ishu hiyo ilikuwa si amri yake bali shetani alimpitia.
“Jamani naomba tumalize humuhumu ndani, mnajua mimi ni Pastor wa Kanisa la Maximum Deliverance, sasa ukweli ni kwamba waumini wangu hawatanielewa, chondechonde ilindieni kazi yangu jamani,” alijitetea.
Mpaka OFM inaondoka eneo la tukio, pastor huyo na wanawake ‘wake’ walikuwa kwenye harakati za kupelekwa mbele ya vyombo vya sheria kwa ajili ya hatua zinazostahili.
KUTOKA MEZANI KWA MHARIRI
Siku zote kazi ya OFM ni kuwajibikia matendo maovu na si kuwaonea watu kwa lengo la kuwachafua. OFM inapopata habari huichunguza ukweli wake kwanza kabla ya kuchukua hatua ya kuifanyia kazi moja kwa moja, yaani kufika kwenye eneo la tukio.
Siku zote kazi ya OFM ni kuwajibikia matendo maovu na si kuwaonea watu kwa lengo la kuwachafua. OFM inapopata habari huichunguza ukweli wake kwanza kabla ya kuchukua hatua ya kuifanyia kazi moja kwa moja, yaani kufika kwenye eneo la tukio.
Lengo kubwa la kutoa habari za aina hii ni kuwakumbusha watu namna ya kuishi maisha yanayompendeza Mungu. Wengi wamebadilika, sasa wanaishi vizuri wakiwa watu wapya na wanyenyekevu pia wenye kufundisha wenzao.
Subscribe to:
Comments (Atom)